Chris Brown, ameomba msamaha leo kwaajili ya tukio aliofanya jana katika kipindi cha “Good morning America”. Ambacho alikasirika akachana shati lake na kuvunja dilisha baada ya majadiliano kuusu ex wake Rihana. Lakini swali kubwa leo hii, je kuna mtu ambaye anakubaliana na msamaha wake?
No comments:
Post a Comment