Thursday, March 24, 2011

Kulipuka Kwa Chris Brown

Chris Brown, ameomba msamaha  leo kwaajili ya tukio aliofanya jana katika kipindi cha “Good morning America”.  Ambacho alikasirika akachana shati lake na kuvunja dilisha baada ya majadiliano kuusu ex wake Rihana. Lakini swali kubwa leo hii, je kuna mtu ambaye anakubaliana na msamaha wake?

No comments:

Post a Comment